Hapo ni uhuni wake tuu...wengi nimeona wanatoa sababu ya kutoridhishwa kwa bed...mwanamke wa karne ya leo hana udhuru tena ktk hili, kwani anaweza kujieleza kwa mwenzi wazi kabisaa(ashikwe/aguswe wapi)..zaidi anaweza chagua angle akafika mlimani...nyamiobo, jichunguze na wewe usijekuwa hushikiki maana mtenda akitendewa..., na uangalie ulikomtoa huyu mke.Wapendwa, hana hata sababu, kitandani mwenyewe anaridhika na kunipa BIG UP, kimato sio kibaya, tunakaa wkenye nyumba yetu, tuna watoto, tuna kigari cha kutembelea,nimemwuliza sababu ni nini anasema shetani kampitia, hao wanaume anaonicheat nao hawana lolote, yeye ndo anachukua pesa zangu na kwenda kulipia hotel. Wanaume wotw hao kawapata through internet charting, nifanyaje mwenzenu