uanaume ni vumilivu.
Mhh Naz kuna kuvumilia mpaka yakakufika ya kukufika unashindwa kujua ujipe mwelekeo gani
uanaume ni vumilivu.
Sweetlady... Ivi huwa kuna sababbu za msingi zinazomfanya mtu acheat? Ni kama zipi labda?
Mwanamke kucheat mara nyingi huwa kuna sababu sio kama wanaume wao ni taamaa tu
wanaume huwa wanasababu za msingi zinazowafanya wacheat.
Mkirua unakaba mpaka penalt ngoja nikupe moja basi mwanamke anacheat kwa kulipiza kisasi kama mwanaume amecheat
Sweetlady... Ivi huwa kuna sababbu za msingi zinazomfanya mtu acheat? Ni kama zipi labda?
Tamaa ya pesa n.k.D.A Hapo umenena... Nasubiria nipate nyinginezo toka kwenu....ili nichukue tahadhari yasije kunikuta!
Mkuu hata wewe hujui kuwa kuna sababu
au umekaa sana mndenyi mpaka umesahau
Mkuu kulipiza kisasi sio suluhisho utakuwa unaongeza matatizo juu ya mengine
Hebu jaribu kukaa nae ujue sababu za kufanya hivo
D.A Hapo umenena... Nasubiria nipate nyinginezo toka kwenu....ili nichukue tahadhari yasije kunikuta!
Unataka ujipange sawasawa sio pata hii nyingine basi usipomrisha kitandani................
Amekuwa mno brief na nikionacho amekazia sana maarifa hapo kwenye Sababu za msingi bila kuzitaja. Ili tujue kuwa ni za msingi ni bora akatutajia according to her!
Afu sababu zinatofautiana kati ya mtu na mtu...inawezekana sababu zangu zisifanane na sababu za mke wako.. Sorry simaanishi, ni mfano tu!Amekuwa mno brief na nikionacho amekazia sana maarifa hapo kwenye Sababu za msingi bila kuzitaja. Ili tujue kuwa ni za msingi ni bora akatutajia according to her!
Ndo maana mleta mada ameshauriwa arudi kwa mkewe akamuulize sababu za kumcheat!..Mh! D.A Lakini si unaniambia tu kuwa nakuboa hapa na pale ili nijirekebishe? sasa usipokuwa wazi na mimi nisipogundua hilo mapema si huoni hata huko unakokwenda utalazimika Wakati mwingine kumwambia mimi mzuka wangu uko hapa au pale? Sikatai kuwa napaswa kutumia ujuzi wangu kugundua lakini some times inabidi tushirikishane
Sweetlady... Ivi huwa kuna sababbu za msingi zinazomfanya mtu acheat? Ni kama zipi labda?
kutotesheka kimapenzi(kutofikishwa)
migogoro mingi ndani ya nyumba -mtu uamua kutafuta faraja/freshment nje
tamaa-ya pesa au tamaa tu ya kufunua kila sket
raha /hulka tu ya mtu ya kuwa na wengi wengi nje uko