ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Mkuu wa kituo cha Polisi Kiteto, amempatia kipigo mwanaume hadi kumvunja mkono mwanaume huyo. Kituoko hicho kilitokea wakati mke alipoenda kumuona mkuu wa kituo, eti kushtaki mumewe hataki kumpa talaka.
Kwa bahati mbaya, wakati mke akiwa anatoa mashataka kituoni, mume wa huyo mke alikuwa akijipitia bila hata kujua kuwa mkewe yuko polisi. Alipomuona huyo mume akijipitia kwa mbali ktk mihanjo yake, ndipo Mkuu wa Kituo alipomuuliza mwanamke kama huyo nidiye mumewe, mke akajibu ndiyo.
Ndipo mkuu wa kituo alipomuita, mume alipokuja kichapo kikaanza hadi mume akavunjika mkono. Uonevu gani huu jamani. Polisi wetu wa ajabu sana. Yaani mkuu wa kituo anamchukulia mke jamaa, lkini kaon ahitoshi hadi amvunje mkono mtu anayemuibia mkewe. Noma sana jamani hawa polisi wetu, tena mtu mkubwa kufanya kituko kama hiki.
Kwa bahati mbaya, wakati mke akiwa anatoa mashataka kituoni, mume wa huyo mke alikuwa akijipitia bila hata kujua kuwa mkewe yuko polisi. Alipomuona huyo mume akijipitia kwa mbali ktk mihanjo yake, ndipo Mkuu wa Kituo alipomuuliza mwanamke kama huyo nidiye mumewe, mke akajibu ndiyo.
Ndipo mkuu wa kituo alipomuita, mume alipokuja kichapo kikaanza hadi mume akavunjika mkono. Uonevu gani huu jamani. Polisi wetu wa ajabu sana. Yaani mkuu wa kituo anamchukulia mke jamaa, lkini kaon ahitoshi hadi amvunje mkono mtu anayemuibia mkewe. Noma sana jamani hawa polisi wetu, tena mtu mkubwa kufanya kituko kama hiki.