Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
Wakuu, heshima mbele!
Mke wangu ni mjamzito wa miezi 6 sasa, akiniona tu anaanza kutapika na chumbani amehama kabisa! Kwasasa analala chumba cha peke yake! Kadri ujauzito unavyokuwa na yeye ndiyo anakuwa mkali zaidi! Akisikia sauti yangu tu basi anapoteza amani! Zamani kabla ya ujauzito aah mambo ni mwake mwake. Nahisi ni hii hali ya ujauzito ndiyo inamsumbua. Ni ujauzito wake wa kwanza!
Ninaomba ushauri wenu ni jinsi gani ya kukabiliana na hali hii? Niwe nafanya nini katika kipindi hiki? Manake anabadirika kama kinyonga! Mood zikimjia anakuwa fresh mara zikitoka hahaha ni balaa!
Nategemea msaada wenu wakuu!
Mke wangu ni mjamzito wa miezi 6 sasa, akiniona tu anaanza kutapika na chumbani amehama kabisa! Kwasasa analala chumba cha peke yake! Kadri ujauzito unavyokuwa na yeye ndiyo anakuwa mkali zaidi! Akisikia sauti yangu tu basi anapoteza amani! Zamani kabla ya ujauzito aah mambo ni mwake mwake. Nahisi ni hii hali ya ujauzito ndiyo inamsumbua. Ni ujauzito wake wa kwanza!
Ninaomba ushauri wenu ni jinsi gani ya kukabiliana na hali hii? Niwe nafanya nini katika kipindi hiki? Manake anabadirika kama kinyonga! Mood zikimjia anakuwa fresh mara zikitoka hahaha ni balaa!
Nategemea msaada wenu wakuu!