Namshukuru Mungu kuona niko tayari uraiani, namtafuta my wife wangu jamani aliyemuona amwambie tayari Nitty karudi uraiani. Kaka angu Bishanga uko wapi, kongosho, my lovely sister Kabakabana i miss u, jamani niliwamiss
Hata mimi nimefurahi YM pamoja sana mkuu, aisee jf ukiimiss unapagawa
Nilianza kupagawa maana hainogi kuja na ID nyingine mkuu
Haya mambo yakufunguliwa usiku utadhani nimetoroka sio mazuri ona sasa my wife keshalala zamani
ina mana hukujaribu hata mautundu mengine kuingia jf?Ahsante mkuu nashukuru niko uraiani angalau naliona jua