The_Analyst
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 218
- 52
Habari wadau,
Mimi nna mke na mtoto mmoja tupo kwenye ndoa kwa takribani miaka mitatu. Kabla ya ndoa alikua anatoa penzi vizuri tu wakati wowote. Lakini baada ya ndoa amekua anapanga ratiba mara moja kwa wiki sometimes 2 weeks.
Naombeni msaada wenu katika hili. Hivi mpenzi wako anapo kataa kushiriki na wewe mapenzi unafanyaje?
Asanteni.
Mimi nna mke na mtoto mmoja tupo kwenye ndoa kwa takribani miaka mitatu. Kabla ya ndoa alikua anatoa penzi vizuri tu wakati wowote. Lakini baada ya ndoa amekua anapanga ratiba mara moja kwa wiki sometimes 2 weeks.
Naombeni msaada wenu katika hili. Hivi mpenzi wako anapo kataa kushiriki na wewe mapenzi unafanyaje?
Asanteni.