Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,961
- 2,138
hizo ndo effect za dawa za kichina mnazotumia kuongeza dude!!!!!!!!!!
Mwenzako kaeleza hicho kiungo alicho nacho ni kwa majaliwa ya Muumbaji wake, wewe wampakazia kuwa katumia dawa za Kicina!!
Pili naona kama maungo yangu yanamzidi uwezo yaani nimekuwa nikifanya kwa utaratibu bila kufanya stailli mbalimbali ili nisimuumize lakini inavyoonekana ni kwamba anapata maumivu sana nikimuuliza huwa anaogopa kusema lakini pia amekuwa akitokwa na damu mwakati wa tendo la ndoa, hivyo naona kuwa labda pngine ni kutokana na kiungo kikubwa Mungu alichonijaalia.
Sasa jamani nifanyeje na mimi bado nampenda mke wangu na ninahitaji kula tunda?
Kaka Kitalolo, cha muhimu muonyeshe mapenzi ya dhati mkeo, akujue na umjue ili muwe mwafanya romance (mnyegesho) kwa uhuru mpaka wote mnatoshea, na baada ya hapo ukimwingilia mkeo hatasikia maumivu wala kutoka damu. Ila hali hiyo licha ya kutumia utaalamu huu ikiendelea, nenda kamuone daktari usije endelea muumiza mdogo wangu.