Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Tmuulize huyu nyani ..katumia technique gani huyo bibie kapagawa ivo
Afu mwambie kabisa kazi ya Jeshi ni KUGANGAMALA! Chezeya?
Tmuulize huyu nyani ..katumia technique gani huyo bibie kapagawa ivo
muulize huyu nyani ..katumia technique gani huyo bibie kapagawa ivo
mke wangu hariziki na mapenzi nimemuoa tu jusijusi.hapendi hata kunipikia ni mlalamikaji sana.nimechoka
muulize huyu nyani ..katumia technique gani huyo bibie kapagawa ivo
sijalogwa bana...unaona mababy wa nyani wanavoenjoy? sio nyie wa kwetu kila siku makelele humu jf... we need action loh!Umenivunja mbavu sana we Smile, sijui umelogwa na nani loh!
Smile nakuogopa aisee!!muulize huyu nyani ..katumia technique gani huyo bibie kapagawa ivo
@nyani ngabu huyoMdada kanogewa ni hakuna! Kesho atataka tena....!
Mmh! hii nayo kweli, gangamala mwanangu maisha mzigo, komaa naye miaka 20 inawangoja, bado mwaali akizaaT
Afu mwambie kabisa kazi ya Jeshi ni KUGANGAMALA! Chezeya?
muulize huyu nyani ..katumia technique gani huyo bibie kapagawa ivo
sijalogwa bana...unaona mababy wa nyani wanavoenjoy? sio nyie wa kwetu kila siku makelele humu jf... we need action loh!
loh katoa ushirikiano gani hapo ..wakati anaonekana hata hayupo duniani kiroho hapo ebu mcheki vizuri full kurelaxSmile ushirikiano kwenye zoezi unahusika sana, si umeona lakini huyo baby wa nyani alivyotoa ushirikiano? Hakiyanani ni lazima huyo nyani ajitume lohhh! Si nyie kila siku malawama tu na matamaaa!!!
loh katoa ushirikiano gani hapo ..wakati anaonekana hata hayupo duniani kiroho hapo ebu mcheki vizuri full kurelax
and the baby boy know where to shoot loh!Nafikiri hujaona vzr jinsi alivojilegeza na hiyo mikono yake alivyomshika jamaa kwa ulaini ....
You should know how to position yourself, na kuprovide "support" wakati wa zoezi, loh!!!
and the baby boy know where to shoot loh!