kwanini tu
Member
- Nov 8, 2011
- 50
- 63
mke wangu hariziki na mapenzi nimemuoa tu jusijusi.hapendi hata kunipikia ni mlalamikaji sana.nimechoka
mke wangu hariziki na mapenzi nimemuoa tu jusijusi.hapendi hata kunipikia ni mlalamikaji sana.nimechoka
mke wangu hariziki na mapenzi nimemuoa tu jusijusi.hapendi hata kunipikia ni mlalamikaji sana.nimechoka
muulize huyu nyani ..katumia technique gani huyo bibie kapagawa ivo
muulize huyu nyani ..katumia technique gani huyo bibie kapagawa ivo
Wanawake wasipo ridhika wabaya sana, ni muda mfupi tu kabla hajaanza kutoka nje.
muulize huyu nyani ..katumia technique gani huyo bibie kapagawa ivo
kwa nini?smile umenichekesha sana hadi watu wananishangaa!
aha hahaaa sijui bana mimi napita turekebisha basi hicho kiswahili hapo kwenye red
you are the last person i expected to see with such kind of comment! lol mbavu sina.