lukunij
Member
- Jul 4, 2012
- 36
- 7
ninaishi katika ndoa sasa mwaka wa tatu nimejaliwa kuwa na mtoto mmoja kinachonishangaza mke wangu amebadilika sana ,kimapato hali yangu si mzuri ukilinganisha na awali ,kila siku kugombana tu ndani ya nyumba na hata heshima imepungua tunajibizana kila kukicha sasa kitu kichonitisha ni pale aliponuna eti kwa sababu nimemsaidia baba yangu pesa na baba aliwahikunisaidia kama laki 5 cku chache zilizopita,sasa na yeye anashida ya pesa nimempa sh laki 6 mkewangu amenuna na kusema ninamsaidia tu baba yangu na wazazi wake siwajali,je munanisaidia vip kiushauri kweli bado ananipenda au?