Kuku wa Kabanga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 807
- 366
habari wanaJF,naomba ushauri,hivi unafanyaje kama mkeo hapatani na ndugu zako hata mmoja,ingawa ndugu ndio wanamletea chokochoko yeye ni mpole na ni mtu mzuri.
habari wanaJF,naomba ushauri,hivi unafanyaje kama mkeo hapatani na ndugu zako hata mmoja,ingawa ndugu ndio wanamletea chokochoko yeye ni mpole na ni mtu mzuri.
Mpole mzuri lakini hawamtaki!! Questionable. All in all,tafuta kwako mkae wewe na mke wako. I guess unakaa kwenye nyumba ya familia. Hiyo nitabu sana. tafuta matrimonial home! and you know what a matrimonial home means
Kuna ulazima wa wao kupatana?