Tulizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 848
- 662
Jee itakuwaje kama nikimbanjua dada yake atanilaumu?
Umeshajaribu kugeuza karata na kujiuliza ikiwa kama Mke wako atabanjuliwa na mdogo wako wewe mwenyewe utajisikiaje? Tit for tat..lah..
Jee itakuwaje kama nikimbanjua dada yake atanilaumu?
hapo umempa kitu cha ukweli, ingekuwa ni mdogo wake wa kike anaingia chumani kutumia make up ya wifi yake angekuwa na wazo la kumtafuna kisa kaingia chumbani kwake?
Tuwe wakweli jamani, majaribu ya mashemeji ni tatizo aiseeee!!!! Unakaa na shemeji amejaaliwa kwa kila kitu though na mkeo amejaaliwa lakini kwa sisi tuliooa wafanyakazi kila siku wanakwenda field!!! Uuuh!!! Analala huko siku tatu siku nne ndo anarudi na mara nyingine wiki nzima ye yuko field home umebaki na shemeji, unaamka asubuhi ujiandae kwenda kazin baridi inapuliza unamkuta shemejiyo kavaa kikanga kimoja anafanya usafi!!! Unamkaripia akavae anakuchekea eti anakujibu `jamaaan shem hivi ndo nakuwa free kufanya kazi`, **** hilo, hips hizoo, kifua usiseme then unaona kabisa kashanga kalikopitia!!!!
Cha ajabu dada yake akiwepo havai hivyo, anavaa vizuri tu!!! Ukimwambia dada mtu kuwa huyu dogo tumlipie hostel akakae huko huko chuo anakataa anadai ataharibika akae hapa hapa.
Tabia nyingine hizi za kupretend uzungu, ukirudi kutoka kazin wanakurukia rukia utasema watoto huku dada mtu amekaa pembeni anashabikia tu!! Mbaya sana kuna wakati uvumilivu unaisha jamani!!!