Mke wangu anataka kumrudisha Housegirl kwao ila sidhani atakayeletwa atakuwa mrembo zaidi ya huyu

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Aug 4, 2014
1,637
458
Habari wanadimba,

Mke wangu amekuwa akimlalamikia sana housegirl wetu kuwa ni mvivu, wapangaji wanamlalamikia na kadhalika. Sasa anataka kumrudisha kwao. Wasiwasi wangu ni kwamba atakayeletwa asije kuwa ana sura ngumu...maaana mashallah huyu wa sasa mtoto kitu, japo bado dogo dogo na sina mpango nae lakini naenjoy kuwa na kitoto kitamu ndani. Sasa nifanyeje mke wangu asimrudishe kwao?

Asanteni wanadimba.
 
Last edited by a moderator:
Ingekuwa ni juu yangu ni ama ningepiga marufuku kabisa watu kuajiri hao wadada wasaidizi wa kazi au walau ningerasimisha hiyo ajira ili kuweka mazingira mazuri ya kulinda haki zao.

Kamwe sitokuja kuajiri mdada wa kazi. Kazi zote nazifanya mwenyewe.
 
Kafuata kazi, sio kuja kukuonyesha sura. Kama unataka kuona sura nzuri nenda kwenye Beauty Contets
 
Habari wanadimba,

Mke wangu amekuwa akimlalamikia sana housegirl wetu kuwa ni mvivu, wapangaji wanamlalamikia na kadhalika. Sasa anataka kumrudisha kwao. Wasiwasi wangu ni kwamba atakayeletwa asije kuwa ana sura ngumu...maaana mashallah huyu wa sasa mtoto kitu, japo bado dogo dogo na sina mpango nae lakini naenjoy kuwa na kitoto kitamu ndani. Sasa nifanyeje mke wangu asimrudishe kwao?

Asanteni wanadimba.
Duuuh...yaani nazid kupata hedek juu ya wanaume...dah ngumu kumesa. Why mpo hivo et??!
 
Habari wanadimba,

Mke wangu amekuwa akimlalamikia sana housegirl wetu kuwa ni mvivu, wapangaji wanamlalamikia na kadhalika. Sasa anataka kumrudisha kwao. Wasiwasi wangu ni kwamba atakayeletwa asije kuwa ana sura ngumu...maaana mashallah huyu wa sasa mtoto kitu, japo bado dogo dogo na sina mpango nae lakini naenjoy kuwa na kitoto kitamu ndani. Sasa nifanyeje mke wangu asimrudishe kwao?

Asanteni wanadimba.
Wasiwasi gani uliokuwa nao uliyekosa haya wewe, na ndio maana kaamua kumrudisha, tena wewe ndiye uliyefanya hicho kibinti kikaanza kiburi, wife akose amani kisa kukufurahisha. Tena aondoke tu
 
  • Thanks
Reactions: THT
Back
Top Bottom