HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Kwa kifupi nina familia ya mke mmoja ninayempenda sana na watoto wawili. Miezi kama tisa iliyopita nilipata matatizo ya kupunguzwa kazini baada ya Ka-NGO nilikokuwa nafanyia kazi kukosa wafadhili wa kutosha na kuamua ku-cut down costs za uendeshaji.
Hali ya kimaisha ilibadilika na kuwa mbaya, hivyo mama watoto wangu alichukua jukumu la kutafuta kazi kwa nia ya kusaidiana maisha hapo nyumbani. Baada ya kama miezi mitatu, nikiendelea na vibarua vya hapa na pale kwa sababu ya elimu yangu kuwa haitoshi, wife alifanikiwa kupata kazi kama Personal Assistant wa Boss fulani wa hapa Dodoma kwenye ofisi moja ya serikali.
Hali ya Maisha ikabilika na kuwa nzuri kama zamani. Kwa kweli tunapenda mno na hajawahi na wala mimi sijawahi kumuonyesha ubaya wowote wala kugombana.
Kama mwezi mmoja hivi uliopita, nilipata fununu kuwa wife anamahusiano na Boss wake. Baada ya kufanya uchunguzi wa kina nikagundua kuwa ni kweli na nilipomuuliza alikiri kuwa alifanya hivyo mara moja tu ili apate kazi kunusuru hali mbaya ya kiuchumi iliyokuwa hapo nyumbani, lakini boss amekuwa akimsumbua sana waendelee na kitendo hicho angawa binafsi hafurahii na anajuta kwa yaliyotokea!
Naomba ushauri, nimfanyaje bimkubwa huyu? Anastahili adhabu???
*** Kisa hiki nimeletewa na rafiki yangu toka Dodoma akiniomba ushauri, hivyo hakina uhusiano na maisha yangu binafsi ***
HorsePower
Hali ya kimaisha ilibadilika na kuwa mbaya, hivyo mama watoto wangu alichukua jukumu la kutafuta kazi kwa nia ya kusaidiana maisha hapo nyumbani. Baada ya kama miezi mitatu, nikiendelea na vibarua vya hapa na pale kwa sababu ya elimu yangu kuwa haitoshi, wife alifanikiwa kupata kazi kama Personal Assistant wa Boss fulani wa hapa Dodoma kwenye ofisi moja ya serikali.
Hali ya Maisha ikabilika na kuwa nzuri kama zamani. Kwa kweli tunapenda mno na hajawahi na wala mimi sijawahi kumuonyesha ubaya wowote wala kugombana.
Kama mwezi mmoja hivi uliopita, nilipata fununu kuwa wife anamahusiano na Boss wake. Baada ya kufanya uchunguzi wa kina nikagundua kuwa ni kweli na nilipomuuliza alikiri kuwa alifanya hivyo mara moja tu ili apate kazi kunusuru hali mbaya ya kiuchumi iliyokuwa hapo nyumbani, lakini boss amekuwa akimsumbua sana waendelee na kitendo hicho angawa binafsi hafurahii na anajuta kwa yaliyotokea!
Naomba ushauri, nimfanyaje bimkubwa huyu? Anastahili adhabu???
*** Kisa hiki nimeletewa na rafiki yangu toka Dodoma akiniomba ushauri, hivyo hakina uhusiano na maisha yangu binafsi ***
HorsePower