Sal
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 498
- 227
Neema, umeniacha hoi. eti akabebe vyuma gym, hahahaa!!! kazi kweli kweli... sijawahai kusikia mwanamme anakung'utwa na mkewe, its my first time. maybe wapo, lakini sidhani kama wana nguvu ya kuhadithia kwamba wanapata kipigo. kazi kweli kweli... huyu ni wa kumwacha tu. mapenzi yameisha kwako ndio maana kakugeuza house boy wake.
Kwa kifupi tu kaka, kwa mwanamke mapenzi yakiisha yameisha. hakuna kurudi nyuma. tofauti na mwanamme anaweza kumchukia mkewe akadhanimini nyumbani ndogo, lakini akarudi after sometimes anajirudi na kumwomba mwenzie msamaha na maisha yakaendelea kama kawaida. huyu alokugeuza house boy usitegemee kua eti kuna siku penzi litarudi. fikiria hatma ya watoto wako then fanya maamuzi ya busara.
Kwa kifupi tu kaka, kwa mwanamke mapenzi yakiisha yameisha. hakuna kurudi nyuma. tofauti na mwanamme anaweza kumchukia mkewe akadhanimini nyumbani ndogo, lakini akarudi after sometimes anajirudi na kumwomba mwenzie msamaha na maisha yakaendelea kama kawaida. huyu alokugeuza house boy usitegemee kua eti kuna siku penzi litarudi. fikiria hatma ya watoto wako then fanya maamuzi ya busara.
1.usifanye kile unachodhani kitamuudhi na kukupiga,kisha man up na wewe akikupiga pigana mpaka atie adabu atiiii
2,tendo la ndoa la msimu inawezekana kuna mtu anamkuna,chunguza.......
3,kama bado unampenda,tafuta suluhu kwa kuongea na wazazi au watu unaowaheshimu....
4,tafuta nyumba ndogo isiyo na gharama,usimuulize kitu chochote mkeo,yeye kama ana akili atasense mabadiliko...na hivi ushamjengea kwao naona atatia jeuri,achana naye waone ustawi wa jamii na baadae mahakama ambayo itawatenganisha na kugawanisha mali mlizochuma nusu kwa nusu,mkishatengana wewe nenda kaipromote nyumba ndogo iwe kubwa ilaa angalia usifanye tena uzuzu wa kuijengea kwao
5,anza gym beba vyuma mwili wako ujengeke na uwe na stamina ya kupigana-hii itakupa confidence hata akikupiga utajidefence vizuri,na asikwambie mgtu ukimpiga mara moja tu kisawasawa huyo ataanza kukuheshimu/kukuogopa.