Download
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 344
- 126
DA,NDOA ZA MWENDOKASI
Mke wangu tuna miaka 10 toka tuoane. Kipato changu na chache hakitofautini sana, ni muda sasa tupo kwenye mgogoro wa kindoa. Kubwa ni kwamba ananifanyia vituko ili tuachane. Nimesha zikamata SMS za mapenzi za wanaume wengine kweye simu yake, nikimuuliza ananijibu alikuwa anatongozwa tu. Nimeshagombana nae sana, nimesha peleka mashtaka kwa watu wazima watusuluishe lakini habadiliki.Last week pia karudia na nimemkuta tena na sms za wanaume za kuitana honey, darling, love nimemuuliza, tumeishia kulumbana na ananijibu nimuache, nichukue 50 zangu. Nimewaita watu wazima wa karibu na familia yangu, tumeyajadili nikijua ataacha, tulipo baki wa 2 akanijibu nisimfuatilie mambo yake. Nimezaa nae watoto 2, tumeshirikiana tumejenga nyumba. Leo hii ananitaka niondoke,ninuache na watoto.Nikaanze maisha kimpango wangu.
Naambiwa kuwa anayaweza maisha bila hata ya uwepo wangu.
Nahisi kuna marafiki amewapata wana mshauri vibaya.
Naombeni ushauri.
............
Hatimaye nimefanikiwa kumfumania live akiwa guest na huyo Baba niliye zidaka sms zao,purukushani ilikuwa kubwa kwani nilijikuta nampiga sana mke wangu.
Leo tumetengana rasmi,naanza taratibu za talaka,ahsanteni sana kwa ushauri wenu...
Mungu awabariki...
Mke wangu tuna miaka 10 toka tuoane. Kipato changu na chache hakitofautini sana, ni muda sasa tupo kwenye mgogoro wa kindoa. Kubwa ni kwamba ananifanyia vituko ili tuachane. Nimesha zikamata SMS za mapenzi za wanaume wengine kweye simu yake, nikimuuliza ananijibu alikuwa anatongozwa tu. Nimeshagombana nae sana, nimesha peleka mashtaka kwa watu wazima watusuluishe lakini habadiliki.Last week pia karudia na nimemkuta tena na sms za wanaume za kuitana honey, darling, love nimemuuliza, tumeishia kulumbana na ananijibu nimuache, nichukue 50 zangu. Nimewaita watu wazima wa karibu na familia yangu, tumeyajadili nikijua ataacha, tulipo baki wa 2 akanijibu nisimfuatilie mambo yake. Nimezaa nae watoto 2, tumeshirikiana tumejenga nyumba. Leo hii ananitaka niondoke,ninuache na watoto.Nikaanze maisha kimpango wangu.
Naambiwa kuwa anayaweza maisha bila hata ya uwepo wangu.
Nahisi kuna marafiki amewapata wana mshauri vibaya.
Naombeni ushauri.
............
Hatimaye nimefanikiwa kumfumania live akiwa guest na huyo Baba niliye zidaka sms zao,purukushani ilikuwa kubwa kwani nilijikuta nampiga sana mke wangu.
Leo tumetengana rasmi,naanza taratibu za talaka,ahsanteni sana kwa ushauri wenu...
Mungu awabariki...