mgunda1990
Member
- Jul 19, 2012
- 73
- 4
mgumu.
Kiukweli nahi, so p msaada...
Natanguliza shukrani.!!
Kiukweli nahi, so p msaada...
Natanguliza shukrani.!!
Asante Doctor kisukari na mimi kuna mtu nampenda hanipendi nifanyeje Dr Kisukari?mwambie aende hospitali akachekiwe ndani ya k yake.jee kwa njia ya fingers anaumia?au dushelee tu?
Anaogopa kasikia eti mimi nimezaliwa mapacha aki Do na mimi kimapenzi huenda akapata watoto Mapacha hicho ndio anacho ogopa kunikubali nimfanyie kitu gani anikubali? King'asti nisaidie?MziziMkavu, mbona mchokozi wewe? Endelea kumpenda tu kuna siku itatiki. Au labda anaogopa yale mapicha yako?
Anaogopa kasikia eti mimi nimezaliwa mapacha aki Do na mimi kimapenzi huenda akapata watoto Mapacha hicho ndio anacho ogopa kunikubali nimfanyie kitu gani anikubali? King'asti nisaidie?
Asante Mkuu King'asti Ubarikiwe Mbinguni Ameen.Kuwa persistent tu, endelea kumuonyesha upendo. Akiona unavyopenda atajua tu hata mkipata triplets, with your support you can move mountains. Afu si umpe somo la genetics, kuwa sio lazima mpate mapacha?
(ku-do ni dhambi, muambie utamuoa kabisaa ili Mungu awape haja ya mioyo yenu)
Mzizimkavu bado hujaoa tu? mambo yako yanafanana sawa vile una mkeMziziMkavu, mbona mchokozi wewe? Endelea kumpenda tu kuna siku itatiki. Au labda anaogopa yale mapicha yako?
habar,kiukwel nashndwa kuelew na pia mnishaur,yfe anadai uume wangu unamuumiza cz umepinda,na unamkuna sehemu moja 2,nikimwambia 2badili style pia anakua mgumu,kiukwel nahc 2napoelekea 2tashindwana,so plz naomben msaada...
Natanguliza shukrani.!!
acha uchokozi,mimi sio dokta.huyo anaekutesa ni nani?Asante Doctor kisukari na mimi kuna mtu nampenda hanipendi nifanyeje Dr Kisukari?
davi sory kama cjakusoma vle,bt thx,b4 nlshakua na m2 tena kanizd mvua kama 5 hv bt alikua anapenda na kufurahia sex bt nliachana nae cz alienda nje ya nch,so nkaamua kuoa na huyu 2mepishana mvua kama 2,mm ndo nmemzd na kiukwe huwa na2mia muda mwng sana kumuandaa bt nkiingia 2 anaanza kulalamka kias kwamba nashndwa kuendelea,hv kupnda kwa uume wangu inaweza kua n 7bu?mbona hko nlpotoka ckuckia malalamko hayo?
ni kweli dini inakataza, ila kuandaa kuko kwa aina nyingi si lazima hiyo, na kuhusu kupinda, si issue ni maumbile tu, labda kama ni kubwa sana na ndefu sana kiasi kwamba inamuumiza, ni vizuri kumpeleka hospital aangaliwe ndani kulikoni na wewe pia ujijue una inches ngapi, maana wa kwanza hakuumia ukute kinu chake kilikidhi, ila huyu ukute kinu chake ni size tofauti, havifanani kaka!! but ol the best, nawaombea msiachane, tafuteni ufumbuzi ili muifurahie ndoa yenu!daaah huu sa hv n mwez kama wa3 tangu 2funge ndoa kingine mwenzangu n m2 wa din sana na v2 vng hapend 2fanye like sucking cz vtabu haviruhusu,napata shda kiukwel