snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,701
- 23,630
Hapo unakuta mdau 'anayoosha miguu' huku anatumia gari. Lol.
Hii nanyoosha miguu hii...
we bwana wee!eti nanyoosha miguu!hiyo miguu si ukanyoshee kitandani?mi nije nikukande ala!ila jamani si muwe mnatoka na wake zenu siku moja moja,we toka nae tu akirudi home akakuta home hakueleweki siku ya kwanza,kesho akidai tena unamtoa akirudi anakuta nguo zilizoanikwa bado zipo kwenye kamba afa ni saa saba usiku,siku ya tatu karudi anakuta wageni wanawasubiri getini af nyie mko bwi!mwenyewe ataanza kudai kubaki home!tulikuwemo humo sa hizi tushajizoelea siye!we piga moja mbili tatu bar ukirudi siku ya kwanza unakuta nimenukia na uturi wangu na kipajama,unanicheki kwenye neti wee lakini ndo ushakuwa nyingi saa nyingine hata hufaidi vizuri!kesho ukirudi kutoka kunyosha miguu unakutana na bonge la menu mezani lakini ndo lishapoa,siku ya tatu we unatoka na mia nimejikalisha kwenye dressing table najiremba!kesho yake utaona kama hujamuuliza vipi leo huend kunyosha miguu!ahahahahahhahhahahha jamani ndoa ni kumjua tu mwenzio na kuendana nae accordingly!basi!