buchenza
Senior Member
- Aug 24, 2012
- 190
- 66
WAN JF naomba ushauri mke wangu ni mama wa nyumbani ,lakini cha ajabu nikirudi kazini nikimwambia natoka kidogo yeye anadhani naenda kwa wanawake nimejaribu kumweleza mke wangu nanyosha miguu ataki ,siku nyingine kama nataka nipate moja baridi nalszimika kupia moja baridi ndo niende home zaidi ya hapo nikifika home kutoka ni shida ,NAOMBA USHAURI