Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Kumbuka brain inatunza memory kutokana na sensory organ - kama ni macho basi picha au video itakaa kichwani sasa akiziba na plaster ndio na memory itakuwa imefutika?Hivi hayo madude huwaga hayafutiki?
Ni mambo ya zamani kama inamsumbua awe anaiziba na plasra kila anapokuwa faragha
Kama hawajapata mtoto ni kutimua mke, hafai huyo? Kwa wale ambao hamjaaoa msikubali kununua simu kwenye mfuko mtakuta kipande cha mche wa sabuni!!