Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,052
Si ushukuru mungu kaweka hiyo ya jamaa wake aliemtoa bk angeMuorodheshia picha za waliomptia mpaka anamuwowa si angevunja laptop<br />
kubali yaishe ukiwa umeshabeba mzigo huna budi kuubeba unless kama tra wanakubugudhi sana lakinikwa hiyo tatizo<br />
jifunze kutunza siri za familia yako kuna watu wanasghida kuliko hii ulio nayo ndugu lakini kutokana na kutunza<br />
siri zao mungu amezidi kuwapigani ana kujua jinsi ya kuombana msamaha..pole kama ni ile ya kuchoma huyo lazima afe<br />
nae huna cha kufanya..na muulze kwa nini akuweka ya aliepa bikira kaweka ya aliemtoa ??
kubali yaishe ukiwa umeshabeba mzigo huna budi kuubeba unless kama tra wanakubugudhi sana lakinikwa hiyo tatizo<br />
jifunze kutunza siri za familia yako kuna watu wanasghida kuliko hii ulio nayo ndugu lakini kutokana na kutunza<br />
siri zao mungu amezidi kuwapigani ana kujua jinsi ya kuombana msamaha..pole kama ni ile ya kuchoma huyo lazima afe<br />
nae huna cha kufanya..na muulze kwa nini akuweka ya aliepa bikira kaweka ya aliemtoa ??