Au unaogopa una mzigo mzito nini? mbona style ni nyingi tu! kwani mkeo huwa ana matatizo mimba huwa zinatoka sana?kama ndio usifanye ila kama hana tatizo wewe endeleza tu.tena changa hata foki cha ndeme unafanya tu
Unajua wanaume wengine husingizia kama huyu jama kumbe ni kigezo cha kula nje. Maana akila nje akirudi mbona huli atakuwa na chakujitetea. Maana akisema ameshiba wakati msosi upo home watamshtukia. Geresha tupu hapa. Mwanaume gani asiye jua hilo. Acha vizingizio.
Imenibid nicheke tu eti anaogopa, mbona hakuogopa kumpa mimba