Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
huyo ni Mkeo? mlioana lini?, mbona katika maelezo yako sijaona hata sehemu moja mnayosema mlioana, mbona tangu mwanzo mmekuwa mkiishi kwa mikwara na fujo tu?
ndugu yangu Mungu ni mkubwa, hapa hapa hakuna wa kukushauri, uhamuzi unao wewe mwenyewe, we kaa chini na futa hisia zako na jipe uhuru binafsi wa kujudge, na mwisho wa yote utapata jibu zuri tu
ndugu yangu Mungu ni mkubwa, hapa hapa hakuna wa kukushauri, uhamuzi unao wewe mwenyewe, we kaa chini na futa hisia zako na jipe uhuru binafsi wa kujudge, na mwisho wa yote utapata jibu zuri tu