Wanaume hawapati uja uzito, na hawaji na uchafu nyumbani wakifanya tendo la ndoa nje, kikubwa wakioga baaaaasi ni wasafi kurudi ndani ya ndoa yaoMaisha haya,wanaume wakizaa nje wanasameheka wengiwao.ila wanawake ni ngumu ndo nature.MSAMEHE.
Kwani kuoa kihalali nikupi MtalingoloDuuh mkuu ulioa kihalali, yaani mkeo wa ndoa anakuwa na ujasiri wakukwambia kuwa mjamzito,
nyie hamjaoana kihalali mechukuna tuu kwani amepata wapi ujasiri wa kukuambia ushenzi huo? Huyo piga chini
Wanaume hawapati uja uzito, na hawaji na uchafu nyumbani wakifanya tendo la ndoa nje, kikubwa wakioga baaaaasi ni wasafi kurudi ndani ya ndoa yao
Wana,JF Naomba ushauri wenu.
Nilikuwa nimeoa na huyo mke nilikuwa nimezaa nae watoto wawili,nikapata nafasi ya kwenda kusoma hapahapa Tanzania,Mke wangu ni mwalimu wa shule ya Msingi,nilipokuwa chuo tulikuwa tunawasiliana vizuri,nilikuwa naendalikizo,lakini mara nyingi nilikuwa siendi likizo zote kwa sababu ya hali ya uchumi,na nilikuwa namwambia kwamba siendi likizo kwa sababu ya hali ya kiuchumi ambayo hata yeye alikuwa anaijua,nili kuwa namwambia ntabakia kwenye mkoa huu na kwa ndugu yetu ambaye na yeye anamfahamu,hadi namaliza chuo nikapata Temple ambayo ingeweza kutusaidia,kupata chakula,nikamwambia fanya utaratibu wa uhamisho,akasema sawa,badae siku hiyo hiyo usiku akanipigia simu akaniambia mimi ni sasa hivi ni MJAMZITO SI WEZI KUJA HUKO,Nikamuuliza umeolewa?akasema hapana,Tangu pale nikaona kuwa hatanifaa,watoto wako shule nina wahudumia mwenyewe nikimwambia changia shilingi elfu kumi,anakuwa mkali sana,tangu pale sikuwahi kumwambia chochote kuhusu watoto.
HADI HVI SASA HATUKO PAMOJA LAKINI YEYE ANATAKA TUSAMEHEANE NA TUISHI PAMOJA NIMEKATAA.
(NIMEONA NILILETE KWENU WADAU MNISAIDIE)
Inasemekana mwanamke hata akijisafisha namna gani; hata baanda ya masaa 3 akichuchmaa na kupiga chafya basi kuna vitu vitatoka!Wanaume hawapati uja uzito, na hawaji na uchafu nyumbani wakifanya tendo la ndoa nje, kikubwa wakioga baaaaasi ni wasafi kurudi ndani ya ndoa yao
Maskini.... Wanawake wengine wanapata waume wazuri wao wanageuka magodoro. Wanaume wanaopata wake wazuri waaminifu ni vise versa. Sijui Mungu ametuunganisha hasi na chanya ili tusaidianeje? Shukuruni kwa kila jambo. Ni msumari, lakini jipe muda wa kuumeza pengine utayeyuka. Duuuhhhhh!!!!
Wana,JF Naomba ushauri wenu.
Nilikuwa nimeoa na huyo mke nilikuwa nimezaa nae watoto wawili,nikapata nafasi ya kwenda kusoma hapahapa Tanzania,Mke wangu ni mwalimu wa shule ya Msingi,nilipokuwa chuo tulikuwa tunawasiliana vizuri,nilikuwa naendalikizo,lakini mara nyingi nilikuwa siendi likizo zote kwa sababu ya hali ya uchumi,na nilikuwa namwambia kwamba siendi likizo kwa sababu ya hali ya kiuchumi ambayo hata yeye alikuwa anaijua,nili kuwa namwambia ntabakia kwenye mkoa huu na kwa ndugu yetu ambaye na yeye anamfahamu,hadi namaliza chuo nikapata Temple ambayo ingeweza kutusaidia,kupata chakula,nikamwambia fanya utaratibu wa uhamisho,akasema sawa,badae siku hiyo hiyo usiku akanipigia simu akaniambia mimi ni sasa hivi ni MJAMZITO SI WEZI KUJA HUKO,Nikamuuliza umeolewa?akasema hapana,Tangu pale nikaona kuwa hatanifaa,watoto wako shule nina wahudumia mwenyewe nikimwambia changia shilingi elfu kumi,anakuwa mkali sana,tangu pale sikuwahi kumwambia chochote kuhusu watoto.
HADI HVI SASA HATUKO PAMOJA LAKINI YEYE ANATAKA TUSAMEHEANE NA TUISHI PAMOJA NIMEKATAA.
(NIMEONA NILILETE KWENU WADAU MNISAIDIE)
umenikumbusha lecturer wangu,aliacha mke na mtoto m1 akaenda nje kusoma aliporudi akaona wazee wa department wameongeza wawili lakini akaliendeleza.
<brKwani kuoa kihalali nikupi Mtalingolo<br />
<br />
<br />
Kihalali ni aje hebu nihabarisheni mwenzenu na amemwambia ushenzi huo nadhani kwa vile yuko mbali nae <br />
kama mtu kishakaa nae na kuzaa nae watoto wawili huyo ni mkewe,,<br />
Ingawa naona huyu mwanamke mwenzetu kicheche yaani kashindwa kumvumilia mmewe , kuna watu hawana hata mshipa wa aibu.<br />
Pole sana nimekosa hata kusema
Bebi, kwenye jukwaa hili la malovee we nimwenyeji sana, Say somthing plz.....ndoa hzi ngoja waje wataalamu mimi nina aleji na izo mambo