MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Give me a break man.Kama umeishiwa hoja kaa kimya usinifananishe na wajinga unaowajua na kuwafikiria.Nilitembea na unaemuita Boyfriend wangu kwa pesa yetu tuliyoifanyia kazi wenyewe na si kodi ya mtanzania yeyote.
Yale yalikuwa mapato halali niliyoyafanyia kazi na ilikuwa ni kwa faida yako na ukoo wako wananchi wa kijiji chako wanalia na umasikini,maradhi na umasikini.Watu mmekuwa masikini wa akili kupita maelezo yanavyoelezea, mnatetea upuuzi usiokuwa na kikomo wakati ndugu zenu wanalia na kusaga meno.
Linalozungumzwa ni matumizi mabovu ya fedha za walipa kodi.Tafuta wapi nimetumia fedha ya chama mimi kama mimi.lete ushahidi hapa ndiyo uondelee kuongea upuuzi.
kuwa na akili yenye miguu miwili inayoweza kutembea na kuonyesha muelekeo,mmekuwa ni watu wa kutetea na kuandika mambo yasiyo na macho kwasababu tu mmpewe kazi acheni kuwa vibaraka,muogopeni Mungu.
Not only that nenda kajifunze suala la mahusiano urudi hapa uandike upuuzi wako.
Mama/dada,
Pamoja na kuelewa ilivyo kero na adha kusikia jinsi unavyo ongelewa nakushauri na wewe pia ujifunze jinsi ya kujibu na kuhandle hizo situations. Assuming wewe ndiyo Josephine wa Dr. Slaa, partner wako ana nafasi kubwa na heshima ya kipekee kwenye jamii. Hivyo basi hata na wewe unavyo jibu baadhi ya watu naomba ujiangalie sana baadhi ya lugha yako haiendani na heshima ya Dr. Slaa. Siyo kumtetea lakini Mama Salma na yeye kasemwa mengi lakini sijawahi kumsikia au kusoma hata siku moja akitoa majibu ya namna hii. Anyway ni ushauri wa bure tu ila how you carry yourself is your choice.