Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Hata mimi magazeti ya udaku siyaamini hata chembe.Udaku sina hamu nao..inawezekana mwenye mali anaitwa Waziri na sio cheo..
Huyu mke wa ndoa au nyumba ndogo tu?
Mimi siziamini picha hizo kwa sababu zifuatazo:
1. Kitendo cha waziri huyo kuruhusu mkewe huyo kupigwa na huyo shemeji yake aliye kifua wazi.
2. Shemeji mtu mwenye jeans kama hakuwa ndani alitoka wapi kuja kumpiga wakati yupo kifua wazi au alimpiga wakati ameshavua shati, kitendo ambacho si rahisi
3. Hakuna hata picha moja hapo ya huyo aliyefumania, yaani Waziri.
4. Huyo mwanamke mwenye baibui wanasema kafumaniwa na alikua akizini, alijiremba saa ngapi na lipstick hiyo mdomoni baada ya kutokea tukio hilo lenye utata?
5. Sidhani kama kichwa cha huyo mwenye baibui ndiyo cha mwenye mwili huo
6. Anaonekana alipigwa picha akipata kibano kama ni sebuleni vile. Akaenda chumbani akavaa baibui akafuatwa tena huko na waandishi akawaruhusu wampige picha akiwa amekaa kwa huzuni hivyo.
Uzushi na uongo mtupu!
au labda waziri sonyo au waziri mahadhi.i concur with you. Mbinu za kuuza gazeti na kwa kuwa hakuna masuala ya mkuchika kwenye udaku haina shida
duh nini mamii,ndio mapenzi kibongobongo waziri akiwa hayupo muuza muvi anakuja kushughulikia mzigo,na inaelekea alikua anajituma kweli:A S 8:Duh !