Is that a big deal?
is the so called first lady not a woman??? mmh mi sioni ajabu kama ana mimba, I know salma si mzee wa kushindwa kubeba mimba nadhani she is 42/43 yrs bado anaweza kuzaa na pia si ajabu. Tumtakie afya njema maana wakati mwingine mimba za siku hizi kufichua vigonjwa vilivyolala!