wanawake bwana, badala ya kumkomesha huyo mwanaume mnakomeshana wenyeqe kwa wenyewe ili iweje? Mie ningekuwa mke mkubwa ningehakikisha nakomba mpunga wa kutosha nawekeza na kujirusha stress za nini wakati kuna watu kibao wenye uwezo wa kukupa raha ambazo mumeo anazigawa kwa wake wadogo?
Kupata mke mwenza inauma jamani..but na sie wanawake tunakua maselfish hatutaki wanawake wenzetu wastirike...ila tabu inakuja huyo anaekuja anakuja na vishindo tafran
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
Dah Jamaa anawakusanya, hapo mpaka wafike wanne.....!!
Kumbe wanawake wanapenda kuchangia ile kitu eeeeeh......!!!
Aaaaaiseeeeeee............!!!