promiseme
JF-Expert Member
- Mar 15, 2010
- 2,707
- 931
Mambo waungwana?
Mwenzenu nna ka mtihani,nna shoga yangu nikonae kama ndugu,alipata bwana kwenye FB
Mapenzi yaka dumu kwa miezi 5 wakamua kufunga kutaka kufunga ndoa shost wangu ndio
Mara ya kwanza anaolewa,alipokuja kuni shauri nikawanamjua bwana anaetaka kumuoa
Nikamwambia bora asubiri ili amsome vizuri huyo jamaa kwani huyo bwana yeye atakua mke
wa 5 kuolewa nahuyo bwana anapenda sana wanawake wanaojitegemea ili na yeye ajipatie
mteremko,shosti wangu kumwambia hivyo alinisomea nakunambia simtaki mema huyu bwana
watu wanamtia ila tuu mimi nilikua najua wewe mwenzangu nakuelezea dhiki na raha zangu
kumbe ni adui yangu lohh amakweli mfadhili mbuzi binadamu atakuudhi na maneno kibao,
akaenda kuolewa, na huyo bwana akamwambia kama mie namtaka yeye nilisha wahi kumtongoza
akaanza kunitumia sms za mafumbo nikamuona kama chizi sikumjibu,leo kaja nakilio bwana kamla
senti alokua nazo nyumba amepewa siku 7 inapigwa mnada gari kaenda kuichukulia mil 20 bank
biashara anawakopesha wanawake zake wamegombana mume kwambia sikutaki kampata mwengine
nimemwambia alale kwanza manake kachafuka kamasi uso mzima na hata lakumwambia sijui nianzie
wapi tangu awena huyu bwana ni miezi 18 alikua akiniona sehemu anatema mate mwisho saloon
nikimkuta aampigia cm mume baby ebu njoo unichukue upesi kuna kituko hapa ntatapi sasaivi,
leo hii waungwana nauliza hajaona pakwenda? au akikakwangu hatotapika? ebu naombeni ushauri wenu
sijui nianzie wapi manake kama asira sasa zamu yangu...
Mwenzenu nna ka mtihani,nna shoga yangu nikonae kama ndugu,alipata bwana kwenye FB
Mapenzi yaka dumu kwa miezi 5 wakamua kufunga kutaka kufunga ndoa shost wangu ndio
Mara ya kwanza anaolewa,alipokuja kuni shauri nikawanamjua bwana anaetaka kumuoa
Nikamwambia bora asubiri ili amsome vizuri huyo jamaa kwani huyo bwana yeye atakua mke
wa 5 kuolewa nahuyo bwana anapenda sana wanawake wanaojitegemea ili na yeye ajipatie
mteremko,shosti wangu kumwambia hivyo alinisomea nakunambia simtaki mema huyu bwana
watu wanamtia ila tuu mimi nilikua najua wewe mwenzangu nakuelezea dhiki na raha zangu
kumbe ni adui yangu lohh amakweli mfadhili mbuzi binadamu atakuudhi na maneno kibao,
akaenda kuolewa, na huyo bwana akamwambia kama mie namtaka yeye nilisha wahi kumtongoza
akaanza kunitumia sms za mafumbo nikamuona kama chizi sikumjibu,leo kaja nakilio bwana kamla
senti alokua nazo nyumba amepewa siku 7 inapigwa mnada gari kaenda kuichukulia mil 20 bank
biashara anawakopesha wanawake zake wamegombana mume kwambia sikutaki kampata mwengine
nimemwambia alale kwanza manake kachafuka kamasi uso mzima na hata lakumwambia sijui nianzie
wapi tangu awena huyu bwana ni miezi 18 alikua akiniona sehemu anatema mate mwisho saloon
nikimkuta aampigia cm mume baby ebu njoo unichukue upesi kuna kituko hapa ntatapi sasaivi,
leo hii waungwana nauliza hajaona pakwenda? au akikakwangu hatotapika? ebu naombeni ushauri wenu
sijui nianzie wapi manake kama asira sasa zamu yangu...