Takwimu zipi, si uweke tuzione wote, na zilifanyikia wapi?
Suala unalotaka kusema kuhusiana na housegirl kuchukuliwa na baba wenye nyumba ni kwamba lipo!.Hawana utamu wowote wa kumzidi mywife, Ila sababu kuu ni kwamba HAWANA GHARAMA, ndio maana inakuwa rahisi kuwalamba!..
Lakini pia wako available muda wote hata pale mywife anapokuwa labda kasafiri au analea!(nimeamua kuwa mkweli bana...sitauma maneno hapo")
dah...mada nyingine bana....:doh:
Mie sitokuwa na housegal, na wala sitolea hahaha. Atakoma,,,,
Ni sawa kuliza mume wa ndoa na hawara nani mtamu? Hawara atakuwa mtam zaidi ya mume, sababu haulali nae kila siku. Ila mume atakuwa mtamu kwa sababu unampenda kama mume. Kila mtu anautam wake hahahah
House girl ni watamu ingawa wengine wachafu hii ni kwa sbb ni kuibia, is like unatoka nje ya ndoa na mwanamke si wala mzuri, wakati mke wako unakuta she is Veryyy Beatiful, kuibia mzee kutamu, sijui kwanini vitu vya uwizi vitamu vitamu tuchunguze hili
Kama takwimu nyingi ndani ya familia nyingi mahouse girl wamevunja ndoa nyingi je wanakua watamu kuliko mke au ndo chovyachovya ya baba?
Takwimu zipi, si uweke tuzione wote, na zilifanyikia wapi?
Suala unalotaka kusema kuhusiana na housegirl kuchukuliwa na baba wenye nyumba ni kwamba lipo!.Hawana utamu wowote wa kumzidi mywife, Ila sababu kuu ni kwamba HAWANA GHARAMA, ndio maana inakuwa rahisi kuwalamba!..
Lakini pia wako available muda wote hata pale mywife anapokuwa labda kasafiri au analea!(nimeamua kuwa mkweli bana...sitauma maneno hapo")
Mbona hujiamini?au na ww umeolewa alafu unae HG tena mzuri kuliko wewe ss inakupa taabu hasa unapokua kazin na mzee anadai yeye leo hajickii vyema hvyo hatakwenda job.Pole rose1980IVI KABISA MNAKAA NA MINDEVU YENU PUUUUUU KIDEVUN MNAJADILI NAN MTAMU??:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
mweeee mweeeeeeeeeee very lowwwwwwww ,mote than low itself...
EBU NYANYUKEN KIFIKRA NA MJADILI YA KUJENGA.
samahanini lakin.
Mbona hujiamini?au na ww umeolewa alafu unae HG tena mzuri kuliko wewe ss inakupa taabu hasa unapokua kazin na mzee anadai yeye leo hajickii vyema hvyo hatakwenda job.Pole rose1980
Kama takwimu nyingi ndani ya familia nyingi mahouse girl wamevunja ndoa nyingi je wanakua watamu kuliko mke au ndo chovyachovya ya baba?
IVI KABISA MNAKAA NA MINDEVU YENU PUUUUUU KIDEVUN MNAJADILI NAN MTAMU??:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
mweeee mweeeeeeeeeee very lowwwwwwww ,mote than low itself...
EBU NYANYUKEN KIFIKRA NA MJADILI YA KUJENGA.
samahanini lakin.
...Mnato tu na huwa hawaulizi kama kuna kinga au vipi wao wanameza tu ndio maana wengi wao wanadaka mimba hovyo hovyo!!!Housegirl