Plz Finest,spare me from that. Im hardly praying against ISC
Tatizo ni kuwa kwanza First Lady hatosheki kwani Babu Muga anashindwa kumtosheleza kwani kwa kijana kama Grace anataka moto mara moja ,sasa babu Muga mpaka atafute Ngisi na pweza wapi na wapi,pia tukumbuke hata kwa Mswati watu walifanya vivyo hivyo kwani malikia uvumilivu ulimshinda mpaka amaliza kuzunguka boma 12 si miezi.Jamani wanawake wanatakiwa kupendwa na kujaliwa na pia wanastahili kupata chakula chao cha usiku kama kawa pale wanapo ji feel na si mpaka babu ale ngisi au Mfalme amalize boma 12kweli nimeamini maisha ni risk na ili ufanikiwe lazima uchague risk moja yani mugabe kama mugabe unakwenda kumchakachulia mke wake du
Msaliti mwenyewe huyu hapa...anacheeka
No worries don't be afraid its worth a try
Mr Mugabe bado yupo fit bwana tamaa za FL tu hizo, huyo ni woo-man-nizer
hahaha mie sitetei mambo ya infidelity lakini umri wa Mugabe kwa sasa atakuwa ana underperform hehe i mean poor performance
Zimbabwe wana Viagra lao la kienyeji ni balaa. When the woman is fed up there is nothing you can do Aliimbaga R.Kelly baada ya yeye kumwagwa na Aaliyah!
41 yrs younger than mugabe.......lazima aliwe tu.
hao ndio wanaume wa shoka kweli yan mpaka kumzunguka mzee mzima na kuchakachua my wife wake na ubabe wote alionao kweli akuna lisilowezekana chini ya jua mh