Cha kuiba daima ni kitamu - hata kama ni cha hatari namna gani. Jaribu kujifanya kama unamuiba mkeo na utaona matokeo yake...
I don't see anything fun up there..!Hehehehehe....nimeipenda hii. Ntuzu style...thats whats up
You are down 2 earth man.ndoa kweli zinafurahisha..ndiyo maisha lkn..usipokula wenzio watakula vyako..lkn kuwa mwema..japo usitegemee watu watakuachia mkeo kwa wema wako..
Hi..
Tokea zamani kuna msemo kwamba mke wa mtu ni mtamu...Je kuna ukweli katika Jambo hilo? Kama ni kweli, ni kwa vipi anatofautiana na mamsap?
Ukila mke wa mtu, na wako akija liwa usije rusha ngumi. Na kama huna mke, wenye wako zao watakutafuna wewe.Hi..
Tokea zamani kuna msemo kwamba mke wa mtu ni mtamu...Je kuna ukweli katika Jambo hilo? Kama ni kweli, ni kwa vipi anatofautiana na mamsap?
mke wa mtu sumu ingawa mtamu......
kweli!ulivyouliza hapa nimeenda kumtesti wa kwako nimekuta ni kweli aisee!ila sijajua ni kwa nini?hi..
tokea zamani kuna msemo kwamba mke wa mtu ni mtamu...je kuna ukweli katika jambo hilo? Kama ni kweli, ni kwa vipi anatofautiana na mamsap?