Mke wa mtu....

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931
Rafiki yangu ana ndoa ambayo sasa ina takriban miaka saba. Miezi miwili iliyopita alianiambia kuwa katika mizunguko yake alikutana na Dada ambae alitokea kuvutika nae ghafla..alifika ofisini kwake kwa madhumuni ya kutaka kufahamu iwapo anaweza kupata kazi. Rafikia yangu alimjibu tu kuwa hana hakika kwa sasa ila ampe namba yake ikitokea vipi atamtafuta. Hazikupita siku mbili rafiki yangu akasukumwa na sheetani la mahaba, akamtwangia yule dada, alipopokea akamweleza anamsalimu tu. Yule dada alionyesha uchangamfu na baada ya maongezi marefu katika simu rafiki yangu akaona kama anahitaji nguvu kidogo sana kumpata.


Hazikupita siku mbili yule dada akampigia tena kuuliza kazi, rafiki yangu anamweleza labda amletee CV na ikiwezekana aweze kumtafutia sehemu nyingine zaidi..CV ikalewa. Rafiki yangu akaona atumie mwanya ule kumwaga itikadi zake, yule dada alionyesha kutomkatisha tamaa..akaimjibu, "sorry nitakuambia lakini sikutegemea" alipoondoka.

Baada ya siku mbili, yule dada akampigia simu rafiki yangu, akiwa mchangamfu sana, alianaza na "Vipi dear najua upo job..eti ehee??" rafiki yangu akaona mambo shwari, nae akaitikia "job dear"..baada ya maongezi mafupi, yule dada akamweleza haya:

:Hioney, nilikuwa naomba kama upo safi unisaidia kama ka milioni hivi, nashida, watoto wanadaiwa ada na sijui itakuwaje?" jamaa yangu aliposikia yale kengele ikagonga kichwani, hakutegemea:

akatamka : "eh milioni, mbona, mbona, mbona hivyo.."

Dada: "hivyo vipi..."

Rafiki yangu: "duh, that's an up hill task kwangu kwa sasa, labda unipe kama ka mwezi hivi".

Dada: "yaani huwezi??

Rafiki yangu: "Naweza ila ..ila mambo si shwari kwa sasa na mimi watoto pale nyumbaniiiiiiiiii"

Dada" yaani nakueleza watoto wanafukuzwa shule mpenzi hata kukopa sehemu huwezi.."
Rafiki yangu: "Sawa, lakini sikutarajia hilo sasa, labada kama ..."

Kabla hajamaliza yule dada akamfyatukia : " Wewe unashindwa ka milioni tu, je uliponitamani unajua mwanaume mwenzio anatoa ngapi kunitunza mimi na watoto, ?? Hivi kama mimi nitaachika kwa mume wangu kweli unaweza kunimudu kama ka ada tu ka watoto kanakushinda??"" Unadhani kila mwanamke unayemuona kima cha mkia wa mbuzi ehe, wengine ng'ombe babuuu!!., ukome kutongoza tongoza wake za watu"

Akakata simu!!.

Rafiki yangu anasema baada ya hapo alitafakari sana Moyoni kauli zile alizozisikia toka kwa yule mwanamke..na akajiona kumbe kachemka sana..na kujisemea "kumbe mke wa mtu ni ghali namana hii?"...
 
hahaha alikomaje teh.
anaona vyaelea anashoboka....... vimeundwa atiii.
 
eeh ndio mjue kuwa hizi k ni biashara...wee make money kula k na sepa ....lah sivyo itatukanwa na mwanamke ambaye sii lolote.
 
Rafiki yangu ana ndoa ambayo sasa ina takriban miaka saba. Miezi miwili iliyopita alianiambia kuwa katika mizunguko yake alikutana na Dada ambae alitokea kuvutika nae ghafla..alifika ofisini kwake kwa madhumuni ya kutaka kufahamu iwapo anaweza kupata kazi. Rafikia yangu alimjibu tu kuwa hana hakika kwa sasa ila ampe namba yake ikitokea vipi atamtafuta. Hazikupita siku mbili rafiki yangu akasukumwa na sheetani la mahaba, akamtwangia yule dada, alipopokea akamweleza anamsalimu tu. Yule dada alionyesha uchangamfu na baada ya maongezi marefu katika simu rafiki yangu akaona kama anahitaji nguvu kidogo sana kumpata.


Hazikupita siku mbili yule dada akampigia tena kuuliza kazi, rafiki yangu anamweleza labda amletee CV na ikiwezekana aweze kumtafutia sehemu nyingine zaidi..CV ikalewa. Rafiki yangu akaona atumie mwanya ule kumwaga itikadi zake, yule dada alionyesha kutomkatisha tamaa..akaimjibu, "sorry nitakuambia lakini sikutegemea" alipoondoka.

Baada ya siku mbili, yule dada akampigia simu rafiki yangu, akiwa mchangamfu sana, alianaza na "Vipi dear najua upo job..eti ehee??" rafiki yangu akaona mambo shwari, nae akaitikia "job dear"..baada ya maongezi mafupi, yule dada akamweleza haya:

:Hioney, nilikuwa naomba kama upo safi unisaidia kama ka milioni hivi, nashida, watoto wanadaiwa ada na sijui itakuwaje?" jamaa yangu aliposikia yale kengele ikagonga kichwani, hakutegemea:

akatamka : "eh milioni, mbona, mbona, mbona hivyo.."

Dada: "hivyo vipi..."

Rafiki yangu: "duh, that's an up hill task kwangu kwa sasa, labda unipe kama ka mwezi hivi".

Dada: "yaani huwezi??

Rafiki yangu: "Naweza ila ..ila mambo si shwari kwa sasa na mimi watoto pale nyumbaniiiiiiiiii"

Dada" yaani nakueleza watoto wanafukuzwa shule mpenzi hata kukopa sehemu huwezi.."
Rafiki yangu: "Sawa, lakini sikutarajia hilo sasa, labada kama ..."

Kabla hajamaliza yule dada akamfyatukia : " Wewe unashindwa ka milioni tu, je uliponitamani unajua mwanaume mwenzio anatoa ngapi kunitunza mimi na watoto, ?? Hivi kama mimi nitaachika kwa mume wangu kweli unaweza kunimudu kama ka ada tu ka watoto kanakushinda??"" Unadhani kila mwanamke unayemuona kima cha mkia wa mbuzi ehe, wengine ng'ombe babuuu!!., ukome kutongoza tongoza wake za watu"

Akakata simu!!.

Rafiki yangu anasema baada ya hapo alitafakari sana Moyoni kauli zile alizozisikia toka kwa yule mwanamke..na akajiona kumbe kachemka sana..na kujisemea "kumbe mke wa mtu ni ghali namana hii?"...

Duh! Ulivyoyanukuu hayo maongezi, kama ulikuwepooo! Au ni wewe Ngoshwe?? LOL!
 
Nahisi amesahau ule msemo usemao, "usione vyaelea vimeundwa"!!!!! :A S-coffee:
 
Most definitely, but her being above suspicion is a condition that must be met.

I have uncompromising standards of morality. Therefore, she must be pure and honest in morals

You shouldn't have to. Plus, a person that requires you to do so is simply not worth it.
 
Back
Top Bottom