Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
- Thread starter
- #41
Zanta,naona tunachanganyana hapa,hakuna anaye'mfundisha'mtu kutoka nje,hapa tunaongelea situation ambayo mtu kishakata shauri kutembea nje ya ndoa.Ukitaka mhukumu huyo mtu,sio uzi huu,usiangalie ulipoangukia ,angalia ulipojijikwaa ni wapi?JF bana, hapa tutakuja kufundishana mpaka jinsi ya kuwa "mashoga" then watu wasijue!