acid njoo uone reflection ya jf huku
babu habari ya asubuhi umeisharudi au bado uko maeneo yale yale????
tatizo watu wa aina hii ni wasumbufu sana hata kama mkeo hataki, linavizia sana na halina aibu, na ndoi maana wanaume tunasemekana wabaya lakini unakuta dume kama wewe na huyu mwanzisha maada wailitu mnaharibu watu hadi laki. Conclusion: eti wanaume ni wadanganyifu. Kiufupi kuna wanaume ambao unadhani baba zao ni shetani mwenyewe original!!!
Acheni mtakufa mtarogwa na kufa vifo vya aibu!!:hungry:
nimerudi kajukuu.
Sasa nashangaa asubuhi hii. Mbona wanakuwa wakali? Au kwa kuwa ni mambo ya watu wazima basi hawataki yasemwe hadharani?
Babu ameachwa hoi!
Ukweli mara zote huwa watu wanauchukia - Binafsi si halalishi mke ku do nje ya ndoa yake...
Bali wanaofanya hivyo kwa ukweli wa dhati wanapata UTAMU - Usiwe na hasira - Ndiyo maana wanafanya hivyo!!!
ndio hivyo babu
kweli duh haya matege ya mapenzi sijui yataisha lini
:target:
Manina zako hivi katika wanawake wooote unaona aliyeolewa ndio deal yaani wewe your a living dead.Kweli jamani najua sana madhara yake ila mke wa mtu mtamu bwana. Kwanza ni nzuri kama wote mnaiba. Yani mwanaume kaoa na mwanamke kaolewa, yani mkikutana kwenye kuchakachua penzi utamu wake hauni kifani.
mke wa mtu HAPANA banaPole mkuu,
Na wewe unaogopa kivuli chako?
Nahc JF inageuka facebuk tartiiibu!!:redfaces:Kweli jamani najua sana madhara yake ila mke wa mtu mtamu bwana. Kwanza ni nzuri kama wote mnaiba. Yani mwanaume kaoa na mwanamke kaolewa, yani mkikutana kwenye kuchakachua penzi utamu wake hauni kifani.
Akili za watu hizo.