valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 868
Hapa nilipo mawazo kibao sijui niamue lipi. Duh kama vp mi nakula mzigo mara moja tu hle naachana naye.
Maamuzi yako mkononi mwako.
Hapa nilipo mawazo kibao sijui niamue lipi. Duh kama vp mi nakula mzigo mara moja tu hle naachana naye.
Maliza masomo kwanza bwana mdogo, pia mke wa mtu ni sumu!Jamani nimependana sana na mke wa mtu na tayari tumepeana promice na huyu mama kwakweli ananipenda sana the same to me, wanajf vipi hivi kweli nitembee naye au nimwache na kasema anatamani sn apate penzi langu.
Mwenzio aliwahi shauriwa hapa kuwa cha mtu m a v i akaendelea matokeo kaja kuaga kuwa tutaonana paradiso. wewe nawe aga kabisa mi mama nakwambia R.I.P. in advance.