Ras
Senior Member
- Mar 16, 2007
- 126
- 6
Nadhani ingekuwa vyema kama hayo mapenzi ya kula pamoja breakfast, lunch na dinner ungeyafanya na mkeo nadhani ungehisi mwapendana pia, ila sbb umeamua kuyafanyia nje basi yanakutia upofu nawe waona mwapendana! USHAURI: hayo unayohisi ni mapenzi ni njia ya mauti inakupofusha na kuwafanyeni msione tatizo kutumia hata gari moja kutembelea amini nakuambia mwisho yatawatuma mkafanyie huo mchezo wenu nyumbani kwake na hapo ndipo utakuwa mwisho wako. Acha hii tabia please!Mke wa mtu ni sumu, utakuja kukojoa dagaaaa, we chezea tu shilingi kwenye tundu la choo. Utajakatwa mapanga au kupigwa shaba. Acha mchezo huo mchafu!