Mbona hujui kudanganya? Tittle inasema amekutisha kukuuwa huku ktk habari yenyewe akakutisha atakutengenezea skendo sasa tukueleweje? Waswahili wanakuambia siku zote ukitaka kudanganya kuwa na kumbukumbu nadhani next time ukija kudanganya tena humu utalikumbuka hilo
With your university level! ..................... unashindwa kumpa majibu? kuna uwezekano ulimjengea mazingira mwenyewe and what you want from here is justification of your intention!!!!!!!!!!!Wanajukwaa wenzangu mm ni mwanafunzi ktk chuo kikuu kimoja hapa nchini tatizo langu ni kwamba nina soma chuo kimoja na mama MTU mzimza na ni mke wa mtu tatizo lake haishi kuja chumbani kwangu eti anasema ananipenda na anataka Nimpe Penzi na yeye atanipa kila nitakacho na mm sitaki kwani ni mtu na familia yake na familia ni watoto wakubwa kama mm na huwa wanakuja kumtembea hapa na nina waona. nilisha fanya mbinu ya kuhama nyumba ila amechunguza na mpaka amejua naishi wapi na kuja kunifuata na sasa amefika mbali kiasi cha kunitishia kama sitaki kumpa anachotaka atanitengenezea sikendo hebu nishaurini nifanye nn Ndungu zangu ilikujitoa huku
ebu waza twice bhana unaniangusha,we mtu wa chuo kikuu huwezi kushindwa mtihani huo ndogo
Na wewe baba mzima umetishika? wewe na yeye nani anaweza mchafua mwenzie?