Skp2ole
Senior Member
- Oct 13, 2011
- 107
- 5
Wanajukwaa wenzangu mm ni mwanafunzi ktk chuo kikuu kimoja hapa nchini tatizo langu ni kwamba nina soma chuo kimoja na mama MTU mzimza na ni mke wa mtu tatizo lake haishi kuja chumbani kwangu eti anasema ananipenda na anataka Nimpe Penzi na yeye atanipa kila nitakacho na mm sitaki kwani ni mtu na familia yake na familia ni watoto wakubwa kama mm na huwa wanakuja kumtembea hapa na nina waona. nilisha fanya mbinu ya kuhama nyumba ila amechunguza na mpaka amejua naishi wapi na kuja kunifuata na sasa amefika mbali kiasi cha kunitishia kama sitaki kumpa anachotaka atanitengenezea sikendo hebu nishaurini nifanye nn Ndungu zangu ilikujitoa huku