assuredly4
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 1,216
- 220
unaoogopa nn, hata Yesu walimwita mpunga pepo na ana pepo lkn haikubadilisha ukweli
achana naye atakuambukiza magonjwa bure usijali hata akisema mbane alete ushahidi atashindwa tu, kisha utamweleza maisha yake yasivyo na uaminifu hadi haishi na mumewe, atagwaya na kukimbia
kumbuka zinaa ni dhambi kubwa inayoambatana na adhabu mara moja kama magonjwa ya zinaa, kupoteza utu wako mbele ya jamii na ukimwi
achana naye atakuambukiza magonjwa bure usijali hata akisema mbane alete ushahidi atashindwa tu, kisha utamweleza maisha yake yasivyo na uaminifu hadi haishi na mumewe, atagwaya na kukimbia
kumbuka zinaa ni dhambi kubwa inayoambatana na adhabu mara moja kama magonjwa ya zinaa, kupoteza utu wako mbele ya jamii na ukimwi