Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,556
- 29,645
Wakulu tujihadhari na paka aliyevaa tasbii ya dagaa ili kutuzuga kwamba sasa hakamati panya!
Tunataka hao maaskofu watoe tamko juu ya kile kiwanja cha kanisa aichokipora muheshimiwa kule Mbezi Beach alipokuwa Ardhi!
hahahahaha hehehehehe bah hahahaha
tasbihi ya dagaa? imeniwehusha sana hiyo.
Nilipokuwa mdogo shuleni nilianza kusikia makashfa kibao ya huyu white head ila nilijua kuwa ukiwa kiongozi shurti ukashifiwe na wasiokupenda, nilivyopanda vidato nikaja kugundua kuwa si kashfa ni ukweli mtupu ila kwa kuwa TIS na idara zingine walikuwa bize na mambo mengine walishindwa kufanyia kazi suala la ubadhirifu wa huyu mtwana na washkaji wengine.
Sasa ameinunua idara karibu nusu nzima na usikute analindwa na hao hao kwa kuwa ni potential kiongozi (wa wizi)