Mhhh wanajamii nitoeni ukungu, ndo mambo ya kichina ama? ............Nasikia Serikali haitawajibika kama ni mambo ya kichina.
Lol... shesheeeeeeeeeeeeee!
Eebwana hilo semi trela si mchezo!!!! Kwanza hakikisha kitanda ni kigumu kama mizani ya TANROADS na usafiri lazima uwe 4WD, kama una COROLA usiwe unapita kwenye mashimo vinginevyo bodi litagusa chini.
Huyo kwenye game hawezi kusumbua kwa sababu staili yingi hawezi ni mnene kujipinda ni vigumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.