Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Tunajua kuwa ni mtoto wa Kiongozi mwingine wa CHADEMA bwana Mtei
lakini mbona hatumwoni akifanya shughuli za kitaifa kama mkwe wa kiongozi wa upinzani ...yaani shughuli za akina mama?
Anajificha nini?
Mindhali Freeman ni public figure kama JK na mindhali anaweza kuwa rais wetu huko baadae si vibaya public na private life yake kuwa under scrutiny na bila kusahau what his wife has been up lately
Anajificha ili kisijulikane kuwa ni chama cha wanandugu! Hii ilishaongelewa sana siku za nyuma