Mke wa Freeman Mbowe

Status
Not open for further replies.

Game Theory

JF-Expert Member
Sep 5, 2006
8,545
833
Tunajua kuwa ni mtoto wa Kiongozi mwingine wa CHADEMA bwana Mtei

lakini mbona hatumwoni akifanya shughuli za kitaifa kama mkwe wa kiongozi wa upinzani ...yaani shughuli za akina mama?

Anajificha nini?

Mindhali Freeman ni public figure kama JK na mindhali anaweza kuwa rais wetu huko baadae si vibaya public na private life yake kuwa under scrutiny na bila kusahau what his wife has been up lately
 
Tunajua kuwa ni mtoto wa Kiongozi mwingine wa CHADEMA bwana Mtei

lakini mbona hatumwoni akifanya shughuli za kitaifa kama mkwe wa kiongozi wa upinzani ...yaani shughuli za akina mama?

Anajificha nini?

Mindhali Freeman ni public figure kama JK na mindhali anaweza kuwa rais wetu huko baadae si vibaya public na private life yake kuwa under scrutiny na bila kusahau what his wife has been up lately

umeishasema ni mke wa freeman mbowe sasa shida gani inayokusumbuwa. kumbuka sio mke wa public kama ulivyolitumia neno hilo
 
Duh hii kali.Why Mbowe peke yake? Unawafaham wake wa viongozi wa upinzani wote? Tukimfaham kuna jipya katika maendeleao ya Taifa letu?
 
Inabidi na mke wa lipumba, mrema, mbatia uwaweke hapa maana na wao wanataka kuwa marais..why mbowe peke yake ndugu?
 
Tunajua kuwa ni mtoto wa Kiongozi mwingine wa CHADEMA bwana Mtei

lakini mbona hatumwoni akifanya shughuli za kitaifa kama mkwe wa kiongozi wa upinzani ...yaani shughuli za akina mama?

Anajificha nini?

Mindhali Freeman ni public figure kama JK na mindhali anaweza kuwa rais wetu huko baadae si vibaya public na private life yake kuwa under scrutiny na bila kusahau what his wife has been up lately

Mkubwa kuna kitu unataka kutueleza nini....!?
 
Tunajua kuwa ni mtoto wa Kiongozi mwingine wa CHADEMA bwana Mtei

lakini mbona hatumwoni akifanya shughuli za kitaifa kama mkwe wa kiongozi wa upinzani ...yaani shughuli za akina mama?

Anajificha nini?

Mindhali Freeman ni public figure kama JK na mindhali anaweza kuwa rais wetu huko baadae si vibaya public na private life yake kuwa under scrutiny na bila kusahau what his wife has been up lately

Mimi sijali kuhus mke wa Mbowe (Lilian Mtei). Hata akiamua kuhama na nchi ili pia asionekane sioni tatizo.

Tatizo ninaloliona ni la kwa nini Mbowe hajitokezi kujibu mengi yanayoisulubu CHADEMA??

Inakuwaje watumishi na wanachama maarufu/muhimu (Kafulila & Danda Juju) wanahama chama lakini mwenyekiti hajitokezi kutoa angalau tamko au kujibu maswali ya waandishi wa habari?

Mbowe kama anaogopa waandishi leo hii kwa mambo madogo madogo kiasi hiki, je anategemea kumuongoza nani?
 
Tunajua kuwa ni mtoto wa Kiongozi mwingine wa CHADEMA bwana Mtei

lakini mbona hatumwoni akifanya shughuli za kitaifa kama mkwe wa kiongozi wa upinzani ...yaani shughuli za akina mama?

Anajificha nini?

Mindhali Freeman ni public figure kama JK na mindhali anaweza kuwa rais wetu huko baadae si vibaya public na private life yake kuwa under scrutiny na bila kusahau what his wife has been up lately

Kila kitu na wakati wake, wakati ukifika utamuona tu. Mama Salma Kikwete ulikuwa unamfahamu kabla ya kuwa 1st Lady! Una haraka ya nini au una kitu unachotaka kusema, kuwa wazi.
 
Tunajua kuwa ni mtoto wa Kiongozi mwingine wa CHADEMA bwana Mtei

lakini mbona hatumwoni akifanya shughuli za kitaifa kama mkwe wa kiongozi wa upinzani ...yaani shughuli za akina mama?

Anajificha nini?

Mindhali Freeman ni public figure kama JK na mindhali anaweza kuwa rais wetu huko baadae si vibaya public na private life yake kuwa under scrutiny na bila kusahau what his wife has been up lately

Muache Dr, wa watu,

mbona wewe ni maarufu sana humu JF na mkeo haji humu kuchangia?
Mke wa Mrema je?, Mke wa lipumba?, wa maalim? wa membe?, wa Mbatia? wa MMM Mwanakijiji?, wa Invisible??

Acha hizo GT uko juu zaidi ya hapo!!
 


Tatizo ninaloliona ni la kwa nini Mbowe hajitokezi kujibu mengi yanayoisulubu CHADEMA??


Kubwajinga, hili ni swali zuri, kwani Kikwete ameshajitokeza kujibu mengi yanayoisulubu CCM?

Maybe they have something in common!!! needs some similarities
1. ...........
2. ................
3.
 
Kubwajinga, hili ni swali zuri, kwani Kikwete ameshajitokeza kujibu mengi yanayoisulubu CCM? [/QUOTE]
Maswali mengine hayajibiki jamani acheni hizo. Hebu fikiria ukimuuliza kama fedha za mafisadi (Meremeta, EPA, Deep Green Finance, Mwananchi Gold, Richmond, Kiwira, etc) ndio zilizomweka madarakani unafikiri atajibu nini?
 
Kubwajinga, hili ni swali zuri, kwani Kikwete ameshajitokeza kujibu mengi yanayoisulubu CCM? [/QUOTE]
Maswali mengine hayajibiki jamani acheni hizo. Hebu fikiria ukimuuliza kama fedha za mafisadi (Meremeta, EPA, Deep Green Finance, Mwananchi Gold, Richmond, Kiwira, etc) ndio zilizomweka madarakani unafikiri atajibu nini?

Its the same situation kwa Freeman, sema Freema yake madogo kwetu, ila kwake ni makubwa kama ya JK
 
GT, don't go too personal, huyu mama has her right to privacy, ni mtumishi wa umma and the brain behind the DJ Freeman, kama Mzee Mengi anavyokuwa modarated na another Lilian, behind every successiful man there is a woman, hawa Lilians wanafanya kazi kubwa sana behind public eyes, otherwise, hawa jamaa wangeshamess siku nyingi.

Please leave their private life private, lets concetrate on public life.
 
GT, don't go too personal, huyu mama has her right to privacy, ni mtumishi wa umma and the brain behind the DJ Freeman, kama Mzee Mengi anavyokuwa modarated na another Lilian, behind every successiful man there is a woman, hawa Lilians wanafanya kazi kubwa sana behind public eyes, otherwise, hawa jamaa wangeshamess siku nyingi.

Please leave their private life private, lets concetrate on public life.


pasco,hawa watu ni public figures...
so jamii ina haki ya kujua wake zao ni watu wa aina gani.....

ohhh dr lilian,na lilian yupi huyo wa mengi?
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom