duh wewe utakuwa mwananyamala kisiwani.Duh nashukuru kwa taarifa huku m/nyamala km hatuna umeme
mkuu Dr Slaa hakuwepo, alikuwepo mke wake pekeeDr Slaa akiwa na mkewe majira ya saa 12 jioni ya leo amevamiwa na majambazi barabarani wamefyatua risasi na kupora porch na kutoroka kwa kutumia pikipiki! Source: ITV habari ya saa 2 usiku huu.
uzembe mwingine unashangaza mno
na ndo mnataka mmpewe nchi muongoze?????????
really????????