Hajalitambua hilo mapema, si kweli. Amepigwa chini kura za maoni huko kwao CCM ndio akakimbilia kwa mumewe CHADEMA. Angalia Makamba atakavyompiga madongo. Aibu!mzee anapowania oval office mama lazima amsuport no matter what, so nashukuru mama kwa kulitambua hilo mapema
MKE wa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dkt. Willibrod Slaa, Bi. Rose Kamili aliyekuwa akigombea ubunge Jimbo la Hanang kwa tiketi ya CCM, ametangaza kujitoa kwenye chama hicho tayari kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
hajalitambua hilo mapema, si kweli. Amepigwa chini kura za maoni huko kwao ccm ndio akakimbilia kwa mumewe chadema. Angalia makamba atakavyompiga madongo. Aibu!
nawasihi hawa wanaotaka kuwatumikia watanzania kwa kupitia vyama vya upinzani waje na hoja za matumaini na kujenga
ANGEJIUZURU na KUHAMIA CHADEMA baada ya kura za maoni jambo ambalo lingeongeza umaarufu wa CHADEMA zaidiHivi angepata huko CCM bado angehamia Chadema?
Has anyone confirmed this rumour?
amechanganyikiwa huyo naye si alikuwa diwani ccm? kwanza kamponza mwenzio akatoka upadri
Has anyone confirmed this rumour?
MKE wa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dkt. Willibrod Slaa, Bi. Rose Kamili aliyekuwa akigombea ubunge Jimbo la Hanang kwa tiketi ya CCM, ametangaza kujitoa kwenye chama hicho tayari kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo.Natamani majibu kwa hili jamani, isijeikawa ndo tunaanza kumshawishi hapa
amechanganyikiwa huyo naye si alikuwa diwani ccm? kwanza kamponza mwenzio akatoka upadri