Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Makamanda wa PCCB huko Bariadi wamemkamata mke wa Andrew Chenge aitwaye Tina kwa tuhuma za kugawa hongo ya Sh5,000 na kanga kwa wapiga kura katika vikao vya siri alivyokuwa anavifanya.
Source: Kamanda wa PCCB mkoani Shinyanga-Leonard Ngaiza
Source: Kamanda wa PCCB mkoani Shinyanga-Leonard Ngaiza