Mke wa bosi na bosi wangu!

Mhh angalia ndugu yangu wasije wakamaliza na wewe wakakupoteza ili kupoteza ushahidi
 
Huenda huyo boss wako si rijari tena na anachotaka kwako ni mambo haya:
1. Uwe unakamilisha huduma ya unyumba kwa mke wake.
2. Zitatolewa mbegu zako za kiume ili zipandikizwe kwa mke wa bosi apate mimba na watoto wawe wa boss.
3. Kuna hatari unatengenezewa ili kuharibu mustakabari wa kazi yako na mapenzi.
4. Unataka kutolewa kafara ili biashara iende vizuri.
Take care.
 
Bosi na mke wake wananishagaza sana.
Nina miezi 6 tungu niajiriwe(opr manager)kampuni hii binafsi ya Muasia.
Kila inapofika lunch time bosi huniomba nikamchukulie chakula nyumbani kwake kwa gari yake,awali nilona jambo la kawaida,baada ya kuzoeana na mkewe vituko vilianza,nikfika napewa chakula nile ndo niondoke na cha bosi! Siku moja alinilazimisha kumgono,nlipokataa akasema atamwambia bosi nlitaka kumbaka! Ikabidi niwajibike! Kitu cha ajabu zaidi kadri siku ziendavyo bosi anazidi kua karibu yangu hadi anataka niende matembezi ya usiku na mkewe ama akisafiri ananiomba nilale kwake,na leo anataka nimsindikize mkewe Nairobi! Kwakweli nashindwa nifanyaje,kazi naipenda kwani nalipwa vizuri,nalipiwa nyumba,private trans nk! Jamani nifanyaje kwani najihisi nabakwa!! Ushauri wenu nauhitaji jamani (kwa sasa nipo single ila nna girl friend nimpendae)


Veve sasa iko tafuta gogoro kuba kwa bana kuba hiyo, nachezea mke na mali, gharama kuba sana talipia weye. SHITUKA ACHA KUJIDHALILISHA.
 
mfanyakazi wa muhindi anaitwa juma alijikata kidole kikawa kinatoa damu!bosi muhindi akamuita ndani akamwambia juma dawa ninayo!akachukua kidole cha juma kilicho na kidonda akakizamisha ktk makalio yake yeye mhindi huku juma anashangaa!siku chache baadaye kidonda cha juma kikapona!

siku chache baadaye muhindi kachukua tomato sauce kajipaka ktk uume,akaanza kulia na kumuita juma chumbani,akamwambia juma naomba dawa kama niliyokupa mimi juzi!.......hivyo ndivyo juma alipoanza kuliwa kalio!

akili kichwani mwako mkuu!
 
jilie vitu vyako uende zako. bosi yawezekena hana uwezo wa kum-do wife wake, so ameona ukimtumia wewe atakuwa kwenye mikono salama kuliko akienda mbali. na kwa taarifa yako, hiyo sio bahati mbaya, jambo hili wao walishalijadili kama wa-ndoa. akili yako iki-charge utachuma vingi kupitia K ya huyo mama.
'' now eat your food yooo!!!!!!!!!!!

Makubwa!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Bosi na mke wake wananishagaza sana.
Nina miezi 6 tungu niajiriwe(opr manager)kampuni hii binafsi ya Muasia.
Kila inapofika lunch time bosi huniomba nikamchukulie chakula nyumbani kwake kwa gari yake,awali nilona jambo la kawaida,baada ya kuzoeana na mkewe vituko vilianza,nikfika napewa chakula nile ndo niondoke na cha bosi! Siku moja alinilazimisha kumgono,nlipokataa akasema atamwambia bosi nlitaka kumbaka! Ikabidi niwajibike! Kitu cha ajabu zaidi kadri siku ziendavyo bosi anazidi kua karibu yangu hadi anataka niende matembezi ya usiku na mkewe ama akisafiri ananiomba nilale kwake,na leo anataka nimsindikize mkewe Nairobi! Kwakweli nashindwa nifanyaje,kazi naipenda kwani nalipwa vizuri,nalipiwa nyumba,private trans nk! Jamani nifanyaje kwani najihisi nabakwa!! Ushauri wenu nauhitaji jamani (kwa sasa nipo single ila nna girl friend nimpendae)

ama kweli unabakwa ukijiona!
 
Upo bado Raia weye?

umerudi toka likizo au?

mie nataka jua u mzima wa afya na haujaumizwa.
 
Kwa kuwa hujaeleza job description yako inasemaje basi kwa mujibu wa maelezo yako wewe ni meneja wa operesheni za hovyohovyo kama:
  • udereva
  • umesenja wa kumpelekea chakula mwajiri
  • kumpa huduma ya kingono mke wa mwajiri wako
  • Kumpa ulinzi kwa kulala nyumbani kwake na kutoa huduma za kingono kwa huyo mama mme wake anaposafiri
  • kumpa escort/ulinzi mke wa mwajiri anaposafiri

Yote hayo umekuwa ukiyafanya bila kupinga wala kuuliza kulikoni. Iko siku huyo mwajiri atakuomba umpe huduma kama unayopewa na mke wake ukiwa ndani ya chumba chao cha kulala. Sijui utakubali bila maswali kama ulivyo utamaduni wako?.
 
inabidi siku umkoleze huyo mazaa wa kihindi umteke akili, then umuulize akuambie kunani hapo? labda mumewe ambaye ni bosi anajua unakulaga na hana nomaaaa...
 
Back
Top Bottom