Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,988
Na sijui hapo nyumbani kwa balozi walikuwa wakiishi watu watatu tu yaani marehemu mama balozi, balozi mwenyewe, na huyo msaidizi ama....
that is the implication; kama kuanzia J'mosi ile akiwa Muheza alipiga simu na hakumpata mtu ina maana hana mtu yeyote katika Dar ambaye angeweza kumuagiza kwenda kuangalia pale nyumbani?