CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
Usinitie katika majaribu. Nimeuliza swali kwa kuwa mimi nimekosa majibu
Hayo majaribu unajitia mwenyewe . . .
Ukiuliza swali ndio usiulizwe???
Usinitie katika majaribu. Nimeuliza swali kwa kuwa mimi nimekosa majibu
Good answer napenda watu wanye uwezo wa ku analise issue like this, nimekuelewa mkuuNafikiri hii inatokana na tofauti ya kisaikolojia zaidi
kati ya mwanamke na mwanaume.
Kimsingi (primal level) kwa mwanamke kujenga
mahusiano ni muhimu wakati mwanaume kujenga
himaya ndiyo kitu muhumu.
Mwanamke japokuwa anakuwa ameolewa yeye
anauwezo waku-maltitask familia yake na ile ya
kwao, pia hupenda kuendeleza uhusiano na
familia iliyomlea kwa miaka mingi.
Kwa mwanaume kujenga mji wake ndiyo kitu
muhimu kule alikotoka mmiliki wa ile himaya ni
baba yake. Yeye akishaoa huwa hana lake kule
zaidi ya kusaidia kama kuna matatizo.
hahahahahahahaha lol! rudi down stair haraka wageni wanakusubiri lolMke ni UKE
thanx :rant::rant::rant::rant::rant:
mke sio ndugu, bt pia ni zaid ya rafiki.
Pole kukutana na upande huo wa mwanamke., mke ni zaidi ya hapo !!Mke ni chanzo cha matatizo. Sio ndugu yako wala rafiki yako. Ukioa tu, urafiki na washkaji unaharibika kama hauko stable. Pia undugu huvunjwa na wake zetu.
Nimeamini wewe ni Prof..........
Umenena vyema kabisa Prof......................
nauliza hili swali ili nipate kuelewa.
Kwanini hawawathamini?Kwasababu hawawathamini!